Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imesema Jeshi la Polisi nchini ndilo lenye mamlaka ya kuwakamata watu wanaohusika kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu zenye uchochezi au utapeli zinazotumwa na baadhi ya watu kwenye mitandao ya simu za mkononi.
Aidha, TCRA imesema haihusiki kudhibiti meseji hizo na kwamba anayeweza...
...click the title/link to read more.
...click the title/link to read more.