Habari za hivi punde kutoka kwa Pamela Mollel via blog, zinasema:
Ndege ya marehemu Nyaga Mawalla yaanguka Arusha na kumwua rubani wake
Ni kwamba ndege iliyokuwa inamilikiwa na Wakili maarufu Marehemu Nyaga Mawala aliyefariki wiki 3 zilizopita na kuzikwa huko Nairobi, imeanguka ikiwa katika hatua za mwisho za kutua (final approach) katika...
...click the title/link to read more.
...click the title/link to read more.